YANGA SC YALAZIMISHWA SARE 0-0 NA CLUB AFRICAIN DAR
WENYEJI, Yanga SC wamelazimishwa sare ya bila kufungana na Club Africain ya Tunisia katika mchezo wa kwanza wa mchujo wa kuwania kuingia Hatua ya Makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika. Sasa Yanga SC watatakiwa kwenda kupambana kushinda ugenini Jijini Tunis katika mchezo wa marudiano Jumatano ijayo.
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment