WENYEJI, KMC wamelazimishwa sare ya 0-0 na Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara jana Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam. Kwa sare hiyo kila timu inafikisha pointi 15 katika mchezo wa 14, KMC ikibaki nafasi ya 10 na Prisons nafasi ya 11 kwenye msimamo wa ligi ya timu 16, ambayo mwisho wa msimu mbili zitashuka.
Nicolo Zaniolo 'REJECTS a move to Bournemouth' after telling his agent he's 'not interested'
-
Roma attacker Nicolo Zaniolo has reportedly rejected a move to Bournemouth
having told his agent that he has no interest in continuing negotiations
with th...
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment