WENYEJI, KMC wamelazimishwa sare ya 0-0 na Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara jana Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam. Kwa sare hiyo kila timu inafikisha pointi 15 katika mchezo wa 14, KMC ikibaki nafasi ya 10 na Prisons nafasi ya 11 kwenye msimamo wa ligi ya timu 16, ambayo mwisho wa msimu mbili zitashuka.
What potential Bezos deal would mean for Liverpool
-
Why investment by a group including Jeff Bezos would not make a marked
difference to Liverpool's spending power - and might sit uneasily with fans.
9 hours ago


.png)
0 comments:
Post a Comment