WENYEJI, KMC wamelazimishwa sare ya 0-0 na Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara jana Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam. Kwa sare hiyo kila timu inafikisha pointi 15 katika mchezo wa 14, KMC ikibaki nafasi ya 10 na Prisons nafasi ya 11 kwenye msimamo wa ligi ya timu 16, ambayo mwisho wa msimu mbili zitashuka.
Anisimova plots Wimbledon sequel with happier ending
-
Many wondered how long it would take Amanda Anisimova to recover from last
year's Wimbledon final. About six weeks was the answer.
23 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment