WENYEJI, KMC wamelazimishwa sare ya 0-0 na Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara jana Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam. Kwa sare hiyo kila timu inafikisha pointi 15 katika mchezo wa 14, KMC ikibaki nafasi ya 10 na Prisons nafasi ya 11 kwenye msimamo wa ligi ya timu 16, ambayo mwisho wa msimu mbili zitashuka.
Colombia qualify for last 32 with win over DR Congo
-
Daniel Munoz's deflected strike is enough for Colombia to beat DR Congo and
secure their place in the 2026 World Cup knockout stage.
24 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment