WENYEJI, KMC wamelazimishwa sare ya 0-0 na Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara jana Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam. Kwa sare hiyo kila timu inafikisha pointi 15 katika mchezo wa 14, KMC ikibaki nafasi ya 10 na Prisons nafasi ya 11 kwenye msimamo wa ligi ya timu 16, ambayo mwisho wa msimu mbili zitashuka.
LeBron James compared to George Washington while carrying American flag at
2024 Olympics opening ceremony
-
The four-time NBA champ, who served as the nation's flag bearer alongside
tennis star Coco Gauff, was seen standing on the front of a boat floating
down th...
36 minutes ago
0 comments:
Post a Comment