WENYEJI, KMC wamelazimishwa sare ya 0-0 na Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara jana Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam. Kwa sare hiyo kila timu inafikisha pointi 15 katika mchezo wa 14, KMC ikibaki nafasi ya 10 na Prisons nafasi ya 11 kwenye msimamo wa ligi ya timu 16, ambayo mwisho wa msimu mbili zitashuka.
Marc Guehi is 'ready to run down his contract' for two foreign giants - in
major blow to Crystal Palace star's Premier League suitors
-
The defender has become one of the most reliable players in his position in
the Premier League in recent years, kicking onto another level since he
joined ...
40 minutes ago
0 comments:
Post a Comment