• HABARI MPYA

    Saturday, November 26, 2022

    NAMUNGO FC YAIPIGA DODOMA JIJI 1-0 SINGIDA


    BAO la Abdulmalik Hamza dakika ya 82 limetosha kuipa Namungo FC ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Dodoma Jiji FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara leo Uwanja wa LITI, Singida.
    Kwa ushindi huo, Namungo FC inafikisha pointi 18 katika mchezo wa 13, ingawa nafasi ya nane, wakati Dodoma Jiji inabaki na pointi zake tisa za mechi 12 nafasi ya 15 kwenye ligi ya timu 16.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: NAMUNGO FC YAIPIGA DODOMA JIJI 1-0 SINGIDA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top