Mabao ya Mbeya City yamefungwa na Sixtus Sabilo yote dakika ya 39 na lingine kwa penalti dakika ya 80, wakati ya Coastal Union yamefungwa na Greyson Gwalala dakika ya 24 na Hamad Majimengi dakika ya 68.
Kwa matokeo hayo, Mbeya City inafikisha pointi 16 katika mchezo wa 10 na kusogea nafasi ya tano, wakati Coastal Union nayo sasa ina pointi 12 za mechi tisa nafasi ya 11.
0 comments:
Post a Comment