BEKI Mkenya, Joash Onyango (kushoto) na kiungo Mmalawi, Duncan Nyoni wakati wa safari ya kwendaleo Jijini Arusha jioni ya leo kuendelea na kambi ya kujiandaa na msimu mpya utakaozinduliwa kwa tamasha la Simba Day Septemba 19 Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam.
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment