• HABARI MPYA

    Sunday, September 05, 2021

    SIMBA SC WAENDA ARUSHA KWA KAMBI NYINGINE

     


    BEKI Mkenya, Joash Onyango (kushoto) na kiungo Mmalawi, Duncan Nyoni wakati wa safari ya kwendaleo Jijini Arusha jioni ya leo kuendelea na kambi ya kujiandaa na msimu mpya utakaozinduliwa kwa tamasha la Simba Day Septemba 19 Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam.



    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SIMBA SC WAENDA ARUSHA KWA KAMBI NYINGINE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top