Mabondia Deontay Wilder wa Marekani na Tyson Fury wa Uingereza wakitambiana Alfajiri ya leo katika mkutano na Waandishi wa Habari mjini Los Angeles kuelekea pambano lao la Desemba 1, mwaka huu ukumbi wa Staples Center mjini humo. Wawili hao walitaka kupigana baada ya kuudhiana kwa kauli, kabla ya kutenganishwa na walinzi waoPICHA ZAIDI GONGA HAPA
How can I watch West Ham v City on TV?
-
Find out how you can watch City’s Premier League encounter with West Ham
from wherever you are in the world.Our attention turns back to the league
as we fa...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment