Kikosi cha Simba SC tayari kwa mazoezi wakati wa kambi yake mjini Nice, Ufaransa mwaka 1993 kujiandaa na mchezo wa marudiano wa Robo Fainali ya Kombe la CAF mwaka 1993 dhidi ya wenyeji, USM El Harrach nchini Algeria. Simba SC ilikwenda kufungwa 2-0 na kufuzu Nusu Fainali kwa ushindi wa jumla wa 3-2 baada ya kushinda 3-0 awali Dar es Salaam.
Nationals roll to 13-3 victory and extend Rockies' losing streak to
season-high 7 games
-
CJ Abrams had the go-ahead RBI in a five-run fifth inning, Cade Cavalli won
his fourth consecutive start and the Washington Nationals defeated Colorado
13-...
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment