Mwanasoka Bora wa Dunia wa FIFA, Luca Modric akiwa chini analalamika wakati wa mchezo wa La Liga usiku wa Jumamosi Uwanja wa de Mendizorroza mjini Vitoria-Gasteiz dhidi ya wenyeji, Alaves walioshinda 1-0, bao pekee la Manu García dakika ya 90 na ushei hiyo ikiwa mechi ya nne wanacheza bila kushinda au kufunga japo bao PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Trump's approval holds at record low as US support for Iran war falls,
Reuters Ipsos poll finds
-
By Jason Lange WASHINGTON, Aug 24 (Reuters) - U.S. public approval of the
war with Iran fell to its lowest level since the conflict's early days,
helping t...
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment