Harry Kane akiwa amemshika kwa hasira Joe Ralls wa Cardiff City (katikati kulia) baada ya kumchezea rafu mchezaji mwenzake wa Tottenham Hotspur Lucas Moura (kushoto chini, namba 27) katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Wembley mjini London. Ralls alitolewa kwa kadi nyekundu na Spurs imeibuka na ushindi wa 1-0, bao pekee la Eric Dier dakika ya nane PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'He never stops... I love it': How 'control freak' Tonda Eckert 'breathed
life' back into Southampton - neuroscience, the World Cup winners that
shaped win at all costs mentality and the 'one per cents' that dragged
Saints back into promotion race
-
One of the first things Tonda Eckert wanted after arriving at Southampton
was for every member of staff to smile a bit more. That's easier said than
done w...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment