Harry Kane akiwa amemshika kwa hasira Joe Ralls wa Cardiff City (katikati kulia) baada ya kumchezea rafu mchezaji mwenzake wa Tottenham Hotspur Lucas Moura (kushoto chini, namba 27) katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Wembley mjini London. Ralls alitolewa kwa kadi nyekundu na Spurs imeibuka na ushindi wa 1-0, bao pekee la Eric Dier dakika ya nane PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Air freight rates soar as Middle East conflict blocks trade routes
-
March 13 (Reuters) - Air freight rates have risen by as much as 70% on some
routes since the start of the U.S.-Israeli war on Iran, data shows, as the
conf...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment