Harry Kane akiwa amemshika kwa hasira Joe Ralls wa Cardiff City (katikati kulia) baada ya kumchezea rafu mchezaji mwenzake wa Tottenham Hotspur Lucas Moura (kushoto chini, namba 27) katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Wembley mjini London. Ralls alitolewa kwa kadi nyekundu na Spurs imeibuka na ushindi wa 1-0, bao pekee la Eric Dier dakika ya nane PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Alex Pereira shares 'breaking news' video of himself signing a fight
contract, with fans sent into frenzy over potential Tom Aspinall UFC 304
showdown - but which clue could give it away?
-
Pereira gave fans a hint over a huge showdown with a major name this summer
after uploading a video of him signing a contract - before being handed a
pair ...
7 minutes ago
0 comments:
Post a Comment