Harry Kane akiwa amemshika kwa hasira Joe Ralls wa Cardiff City (katikati kulia) baada ya kumchezea rafu mchezaji mwenzake wa Tottenham Hotspur Lucas Moura (kushoto chini, namba 27) katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Wembley mjini London. Ralls alitolewa kwa kadi nyekundu na Spurs imeibuka na ushindi wa 1-0, bao pekee la Eric Dier dakika ya nane PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Nigerian Newspapers: Major stories on Wednesday morning
-
Good morning to readers. Daily Sun brings the major stories from Nigerian
Newspapers on Wednesday morning.
The post Nigerian Newspapers: Major stories on...
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment