Kiungo Kevin De Bruyne akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Manchester City dakika ya 49 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Leicester City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Kings Power. Bao la kwanza katika ushindi huo wa 10 mfululizo wa Man City Ligi Kuu limefungwa na Gabriel Jesus dakika ya 45 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Aberdeen's top-flight status is at serious risk if this managerial debacle
doesn't get sorted out
-
The task of trying to defend the Scottish Cup was Aberdeen's last hope of
salvaging a truly dreadful season.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment