Kiungo Kevin De Bruyne akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Manchester City dakika ya 49 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Leicester City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Kings Power. Bao la kwanza katika ushindi huo wa 10 mfululizo wa Man City Ligi Kuu limefungwa na Gabriel Jesus dakika ya 45 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Shaffy Bello to women: You are worth more than ‘runs’
-
Veteran Nollywood actress has delivered a strong message to young women,
urging them not to define their worth through transactional relationships,
socia...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment