Kiungo Kevin De Bruyne akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Manchester City dakika ya 49 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Leicester City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Kings Power. Bao la kwanza katika ushindi huo wa 10 mfululizo wa Man City Ligi Kuu limefungwa na Gabriel Jesus dakika ya 45 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Hearts of Oak players are lining up Girls for fun- Former captain Amankwah
Mireku rips into stars after poor campaign
-
Former captain of Hearts of Oak, Amankwah Mireku has gone ballistic at he
current players of the club describing them as jokers following the team's
slump ...
48 minutes ago
0 comments:
Post a Comment