Gonzalo Higuain akiifungia Juventus bao la kusawazisha dakika ya 79 katika sare ya 1-1 na wenyeji, Sporting Lisbon kwenye mchezo wa Kundi D Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Jose Alvalade mjini Lisbon, Ureno. Sporting Lisbon walitangulia kwa bao la Bruno Cesar dakika ya 20 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Fernando Tatis blasts longest HR of MLB season, Manny Machado hits 2 as
Padres pummel Braves pitching
-
Three of San Diego's four home runs were solo shots; it could have been a
lot worse for Atlanta.
1 minute ago



.png)
0 comments:
Post a Comment