Gonzalo Higuain akiifungia Juventus bao la kusawazisha dakika ya 79 katika sare ya 1-1 na wenyeji, Sporting Lisbon kwenye mchezo wa Kundi D Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Jose Alvalade mjini Lisbon, Ureno. Sporting Lisbon walitangulia kwa bao la Bruno Cesar dakika ya 20 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Newcastle 1-3 Man City: Pep Guardiola's understudies vindicate Erling
Haaland gamble to torment the Toon AGAIN, writes CRAIG HOPE
-
CRAIG HOPE AT ST JAMES' PARK: Pep Guardiola and City have the Indian sign
over Newcastle, and Omar Marmoush is the one casting the spell.
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment