Gonzalo Higuain akiifungia Juventus bao la kusawazisha dakika ya 79 katika sare ya 1-1 na wenyeji, Sporting Lisbon kwenye mchezo wa Kundi D Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Jose Alvalade mjini Lisbon, Ureno. Sporting Lisbon walitangulia kwa bao la Bruno Cesar dakika ya 20 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Heat's Erik Spoelstra: Injuries Not to Blame for Celtics Loss with Jimmy
Butler Out
-
Erik Spoelstra isn't looking to make excuses. "We're not going to put this
on the fact that we've had some injuries," the Miami Heat head coach told
report...
37 minutes ago
0 comments:
Post a Comment