Mshambuliaji Eden Hazard akishangilia baada ya kuifungia Chelsea mabao mawili dakika za 23 na 62 jana katika ushindi wa 4-0 dhidi ya wenyeji, West Bromwich Albion katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa The Hawthorns, West Bromwich. Mabao mengine ya The Blues yalifungwa na Alvaro Morata dakika ya 17 na Marcos Alonso dakika ya 38 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
We youths have limitless powers now to change our lives —Anakor, TEDx
Festac convener
-
Vivacious Esther Ebubechukwu Anakor has a perfect combination of beauty,
brains and intellectual brawn, which she is not shy to deploy and use to
impact ...
1 minute ago



.png)
0 comments:
Post a Comment