Mshambuliaji wa Paris St Germain, Edinson Cavani akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 38 na 79 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Nantes jana kwenye mchezo wa Ligue 1, Ufaransa Uwanja wa Parc des Princess mjini Paris. Mabao mengine ya PSG yalifungwa na Angel Di Maria dakika ya 42 na Javier Pastore dakika ya 65, wakati la Nantes lilifungwa na Prejuce Niguimbe Nakoulma dakika ya 60 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Energy shares push up Europe's STOXX 600; investors watch Middle East, Big
Tech results
-
By Tharuniyaa Lakshmi and Purvi Agarwal July 22 (Reuters) - European shares
inched higher on Wednesday, driven largely by energy stocks, as crude oil
hit s...
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment