Mshambuliaji wa Paris St Germain, Edinson Cavani akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 38 na 79 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Nantes jana kwenye mchezo wa Ligue 1, Ufaransa Uwanja wa Parc des Princess mjini Paris. Mabao mengine ya PSG yalifungwa na Angel Di Maria dakika ya 42 na Javier Pastore dakika ya 65, wakati la Nantes lilifungwa na Prejuce Niguimbe Nakoulma dakika ya 60 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Marc Guehi is 'ready to run down his contract' for two foreign giants - in
major blow to Crystal Palace star's Premier League suitors
-
The defender has become one of the most reliable players in his position in
the Premier League in recent years, kicking onto another level since he
joined ...
44 minutes ago
0 comments:
Post a Comment