Mshambuliaji wa Paris St Germain, Edinson Cavani akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 38 na 79 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Nantes jana kwenye mchezo wa Ligue 1, Ufaransa Uwanja wa Parc des Princess mjini Paris. Mabao mengine ya PSG yalifungwa na Angel Di Maria dakika ya 42 na Javier Pastore dakika ya 65, wakati la Nantes lilifungwa na Prejuce Niguimbe Nakoulma dakika ya 60 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Houston Texans receiver Tank Dell was 'a victim of a shooting in Florida on
Saturday night', the team announces... before being released from hospital
with a 'minor wound': 'He's in good spirits'
-
Texans wide receiver Tank Dell was the victim of a shooting on Saturday
night, according to the team.
24 minutes ago
0 comments:
Post a Comment