Kocha Mspaniola wa Manchester City, Pep Guardiola akiwa ameshika tuzo yake ya Kocha wa Mwezi wa Oktoba Ligi Kuu ya England, ambayo anashinda kwa mara ya pili mfululizo baada ya kushinda pia na Septemba. Amesherehekea tuzo huyo kwa pamoja na Wasaidizi wake kama ilivyo ada yake. Kutoka kushoto ni Rodolfo Borrell (Msaidizi), Sam Erith (Mkuu wa Idara ya Viwango), Xabi Mancisidor (Kocha wa makipa), Lorenzo Buenaventura (Kocha wa Mazoezi ya utimamu wa mwili), Pep Guardiola, Domenec Torrent (Kocha Msaidizi), Mikel Arteta (Kocha Msaidizi), Brian Kidd (Kocha Msaidizi) na Carles Planchart (Kocha Msaidizi) PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Artemi Panarin, Rangers Championed By NHL Fans for Sweeping Alex Ovechkin,
Capitals
-
The New York Rangers are the first team to advance in the 2024 Stanley Cup
Playoffs. After taking the first three games of the series against the
Washington…
53 minutes ago
0 comments:
Post a Comment