Kipa wa Bolivia, Lampe (kulia) akizuia mchomo wa papo kwa papo wa Neymar (kushoto) wa Brazil katika mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia jana kwa kanda ya Amerika Kusini Uwanja wa Hernando Siles mjini La Paz timu hizo zikitoka sare ya 0-0. Hata hivyo, Brazil imekwishajihakikishia tiketi ya Urusi mwakani PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Nuno Espirito Santo set to be sacked by West Ham after Premier League
relegation - and with player's wife attacking him after he dropped her
husband for 'no particular reason'
-
Nuno had refused to be drawn on his own future on Sunday after West Ham's
relegation to the Championship was confirmed, but is now expected to leave
the club.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment