Kipa wa Bolivia, Lampe (kulia) akizuia mchomo wa papo kwa papo wa Neymar (kushoto) wa Brazil katika mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia jana kwa kanda ya Amerika Kusini Uwanja wa Hernando Siles mjini La Paz timu hizo zikitoka sare ya 0-0. Hata hivyo, Brazil imekwishajihakikishia tiketi ya Urusi mwakani PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Critics waiting for Celtic to slip up - Rodgers
-
Speaking before Celtic's Champions League match with Atalanta, manager
Brendan Rodgers says his side's critics are waiting for them to slip up.
36 minutes ago
0 comments:
Post a Comment