Kipa wa Bolivia, Lampe (kulia) akizuia mchomo wa papo kwa papo wa Neymar (kushoto) wa Brazil katika mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia jana kwa kanda ya Amerika Kusini Uwanja wa Hernando Siles mjini La Paz timu hizo zikitoka sare ya 0-0. Hata hivyo, Brazil imekwishajihakikishia tiketi ya Urusi mwakani PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tan gives green light to Bulut contract talks
-
Cardiff City are looking to agree a new deal with manager Erol Bulut after
Bluebirds owner Vincent Tan authorises contract talks.
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment