Beki wa Italia, Davide Zappacosta anayechezea Chelsea (kushoto) akiwania mpira wa juu dhidi ya Ferhan Hasani wa Macedonia katika mchezo wa Kundi G kufuzu Kombe la Dunia usiku wa jana Uwanja wa Olimpiki Grande Torino mjini Torino timu hizo zikitoka sare ya 1-1. Italia walitangulia kwa bao la Giorgio Chiellini dakika ya 40, kabla ya Aleksandar Trajkovski kuwasawazishia wageni dakika ya 77 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Luke Littler continues his red-hot form as he wins the Austrian Open title
after beating Joe Cullen - with Premier League leader lifting his second
PDC European Tour trophy in debut year
-
The 17-year-old produced another top-drawer display as he swept past 'The
Rockstar' 8-4 in the final, hitting four 180s with a match average of just
over 102.
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment