Beki wa Italia, Davide Zappacosta anayechezea Chelsea (kushoto) akiwania mpira wa juu dhidi ya Ferhan Hasani wa Macedonia katika mchezo wa Kundi G kufuzu Kombe la Dunia usiku wa jana Uwanja wa Olimpiki Grande Torino mjini Torino timu hizo zikitoka sare ya 1-1. Italia walitangulia kwa bao la Giorgio Chiellini dakika ya 40, kabla ya Aleksandar Trajkovski kuwasawazishia wageni dakika ya 77 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Luke Sayers: Major twist in footy club boss's 'd*** pic' scandal as 'the
heat builds' around high-flying exec and expert reveals the 'steps' that
will unmask the culprit
-
Carlton president Luke Sayers has gone quiet after claiming he was hacked
when the scandal broke on January 9 - and now he's reportedly been hit by a
very ...
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment