• HABARI MPYA

    Tuesday, October 10, 2017

    AZAM FC WALIPOWASILI DODOMA KWA MAPUMZIKO MAFUPI

    Kipa Mghana wa Azam FC, Razack Abalora baada ya kuwasili mkoani Dodoma asubuhi ya leo kwa mapumziko ya mafupi kabla ya kesho asubuhi kuendelea na safari kwenda Shinyanga ambako Jumamosi watakuwa na mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya wenyeji, Mwadui FC
    Mshambuliaji Mbaraka Yussuf akielekea kwenye hoteli ya African Conference Centre ambako Azam FC ilifikia pia wiki mbili zilizopita ilipokwenda kucheza na Singida United na kutoa sare ya bao 1-1
    Nahodha Himid Mao akielekea hotelini baada ya kuteremka kwenye basi 
    Beki Mghana, Yakubu Mohammed akiteremka kwenye basi
    Kocha Mromania, Aristica Cioaba wakati timu inaondoka Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam Alfajiri ya leo 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: AZAM FC WALIPOWASILI DODOMA KWA MAPUMZIKO MAFUPI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top