Mshambuliaji wa Manchester City, Sergio Aguero akiwa mazoezini jana Uwanja wa akademi ya klabu hiyo kujiandaa na mchezo wao wa kesho dhidi ya Stoke City Uwanja wa Etihad. Aguero amerudi mazoezini baada ya wiki mbili zilizopita kupata ajali alipokuwa anatoka kwenye tamasha la muziki mjini Amsterdam, Uholanzi na alitarajiwa kukosa mechi nyingi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Knicks cling on to eliminate 76ers 118-115 in nail-biting Game 6 victory,
advancing to face the Pacers in bitter conference semifinal rivalry matchup
-
The New York Knicks outlasted the Philadelphia 76ers on Thursday night to
advance to the Eastern Conference semifinals with a 118-115 victory in the
decidi...
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment