Mshambuliaji Wayne Rooney akishangilia baada ya kufunga bao lake la 249 Manchester United na kuifikia rekodi ya gwiji Sir Bobby Charlton aliyekuwa anaongoza kwa kuwafungia mabao mengi Mashetrani hao Wekundu. Rooney alifunga bao hilo dakika ya saba katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Reading kwenye mchezo wa Raundi ya Tatu Kombe la FA England Uwanja wa Old Trafford. Mabao mengine ya United yamefungwa na Anthony Martial dakika ya 15 na Marcus Rashford mawili dakika za 75 na 78 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Record losses but 80% pay rises for the bigwigs, terrible results, fan
protests and whingeing players locked into long deals. This is how BlueCo's
'revolutionary' Chelsea project fell apart, writes IAN HERBERT
-
This week's financial results at Chelsea, on the back of Saturday's
thumping by Manchester City, point to a model which is failing both
financially and com...
6 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment