Cristiano Ronaldo (katikati) akishangilia baada ya kuifungia Real Madrid dakika ya 27 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Granada leo kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Bernabeu. Mabao mengine ya Real yamefungwa na Isco dakika ya 12 na 32, Benzema dakika ya 21 na Casemiro dakika ya 58. Kwa ushindi huo, Real pamoja na kuifikia rekodi ya Barcelona kucheza mechi 39 bila kufungwa, sasa inaongoza ligi kwa pointi sita zaidi dhidi ya Barca wanaocheza kesho PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Odell Beckham Jr.'s Dolphins Contract Praised by NFL Fans for Fit with
Hill, Waddle
-
The long-rumored pairing of Odell Beckham Jr. and the Miami Dolphins is
finally happening. Per NFL Network's Ian Rapoport and Tom Pelissero,
Beckham agreed...
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment