Sergio Ramos akishangilia baada ya kuiwezesha Real Madrid kutinga Robo Fainali ya michuano ya Kombe la Mfalme, maarufu kama Copa del Rey kufuatia sare ya 3-3 na wenyeji Sevilla Uwanja wa Ramon Sanchez Pizjuan. Mabao ya Sevilla yalifungwa na Danilo aliyejifunga dakika ya 10, Jovetic dakika ya 53 na Iborra dakika ya 77 wakati ya Real yalifungwa na Asensio dakika ya 48, Ramos dakika ya 83 na Benzema dakika ya 90, hivyo Real kufuzu kwa ushindi wa jumla wa 6-3 baada ya awali kushinda 3-0 Bernabeu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Xabi Alonso reveals he has held private talks with Estevao over lack of
game time - and amid reports in Brazil the forward is concerned about his
Blues future
-
KIERAN GILL: Alonso has held private talks with Estevao Willian amid
speculation that Chelsea's Brazilian boy wonder is concerned with his lack
of opportun...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment