Mshambuliaji wa Barcelona, Lionel Messi akijaribu kumtoka Benat Etxebarria wa Athletic Bilbao katika mchezo wa marudiano hatua ya 16 Bora Kombe la Mfalme usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou. Barca ilishinda 3-1 mabao yake yakifungwa na Suarez dakika ya 35, Neymar kwa penalti dakika ya 48 na Messi dakika ya 78, huku la wageni likifungwa na Enric Saborit dakika ya 51 na Barca inakwenda Robo Fainali kwa ushindi wa jumla wa 4-3, baada ya awali kufungwa 2-1 kwenye mchezo wa kwanza ugenini PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Burnley fan is spotted making sick gestures mocking the Munich air disaster
during draw with Man United at Old Trafford... as club vow to help police
'identify and prosecute' supporters over tragedy chanting
-
Footage was posted on social media following Burnley's 1-1 draw against Man
United on Saturday, with one supporter seen making aeroplane gestures with
his ...
36 minutes ago
0 comments:
Post a Comment