Kiungo Marouane Fellaini akimkumbatia kwa furaha kocha wake, Jose Mourinho benchi baada ya kuifungia Manchester United bao la pili dakika ya 87 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Hull City kwenye mchezo wa kwanza wa Nusu Fainali ya Kombe la Ligi England Uwanja wa Old Trafford usiku wa jana. Bao la kwanza la United lilifungwa na Juan Mata dakika ya 56 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Video: Kirk Cousins Throws to Falcons WRs amid Injury Rehab After Penix Jr.
Pick
-
Kirk Cousins has officially thrown his first pass as an Atlanta Falcon. The
Falcons shared a video Thursday of the veteran quarterback throwing to wide…
38 minutes ago
0 comments:
Post a Comment