Meli ya kubeba abiria na magari, Azam Sea Link 2 itakayokuwa ikifanya safari zake kati ya Dar es Salaam na Zanzibar ikiwa maeneo ya Bandari ya Zanzibar baada ya kuwasili nchini tayari kuanza kazi. Meli mali ya kampuni ya Bakhresa Group Limited, wamiliki wa klabu ya Azam FC pia, inaungana na Azam Sea Link 1 hivyo kufanya safari za abiria na magari yao kati ya Dar es Salaam na Zanzibar kuongezeka
The Champions welcome Ross Grant to coaching team
-
The club has been working on developing its football backroom team in
recent weeks and we are now also pleased to confirm that Ross Grant will be
joining M...
9 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment