Meli ya kubeba abiria na magari, Azam Sea Link 2 itakayokuwa ikifanya safari zake kati ya Dar es Salaam na Zanzibar ikiwa maeneo ya Bandari ya Zanzibar baada ya kuwasili nchini tayari kuanza kazi. Meli mali ya kampuni ya Bakhresa Group Limited, wamiliki wa klabu ya Azam FC pia, inaungana na Azam Sea Link 1 hivyo kufanya safari za abiria na magari yao kati ya Dar es Salaam na Zanzibar kuongezeka
Watch: Monday Night Club on 5 Live
-
Mark Chapman and guests debate the weekend's football.
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment