Mshambuliaji wa Arsenal, Olivier Giroud akikimbia kushangilia baada ya kuifungia timu yake bao la pili dakika ya 89 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Preston North End Uwanja wa Deepdale, Preston kwenye mchezo wa Kombe la FA England Raundi ya Tatu. Bao la kwanza la Arsenal limefungwa na Aaron Ramsey dakika ya 46, wakati bao la Preston limefungwa na Callum Robinson dakika ya saba PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL Rumors: Tee Higgins Eyed Pittman's Contract; Bengals Never Approached
$20M AAV
-
Tee Higgins' future with the Cincinnati Bengals is still up in the air as
he approaches the final season of his current contract, and he reportedly
eyed…
38 minutes ago
0 comments:
Post a Comment