Mshambuliaji wa Arsenal, Olivier Giroud akikimbia kushangilia baada ya kuifungia timu yake bao la pili dakika ya 89 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Preston North End Uwanja wa Deepdale, Preston kwenye mchezo wa Kombe la FA England Raundi ya Tatu. Bao la kwanza la Arsenal limefungwa na Aaron Ramsey dakika ya 46, wakati bao la Preston limefungwa na Callum Robinson dakika ya saba PICHA ZAIDI GONGA HAPA
World Cup: France beat Norway 4-1 as Dembélé hits hat-trick
-
France maintained their perfect start to the 2026 FIFA World Cup with a
commanding 4-1 victory over Norway on Friday, thanks to a first-half
hat-trick fr...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment