Pablo Zabaleta akishangilia bao lake la kwanza kuifungia Manchester City tangu Desemba mwaka 2014 alipofunga kwenye Ligi ya Mabingwa dhidi ya Roma. Zabaleta alifunga bao la kwanza usiku wa Jumatano dakika ya 33 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Watford kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Etihad. Bao la pili lilifiungwa na kiungo David Silva dakika ya 86 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
FG resumes mass terrorism trials with over 600 suspects arraigned in Abuja
-
The Federal Government has launched a fresh phase of mass terrorism trials,
with over 600 suspects charged before the Federal High Court, Abuja, on
count...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment