Pablo Zabaleta akishangilia bao lake la kwanza kuifungia Manchester City tangu Desemba mwaka 2014 alipofunga kwenye Ligi ya Mabingwa dhidi ya Roma. Zabaleta alifunga bao la kwanza usiku wa Jumatano dakika ya 33 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Watford kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Etihad. Bao la pili lilifiungwa na kiungo David Silva dakika ya 86 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
James Harden, Paul George Coy on Clippers Future After Loss amid Contract
Rumors
-
Heading into an offseason of uncertainty, Paul George and James Harden were
mum on their futures with the Los Angeles Clippers. In the aftermath of
Friday's…
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment