Mshambuliaji wa Simba, Frederick Blagnon kutoka Ivory Coast (kulia) akiruka kupiga mpira kichwa dhidi ya mshambuliaji wa Mtibwa Sugar, Jaffar Salum katika mchezo wa kirafiki jana Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam
Beki wa Simba, Mohammed Hussein 'Tshabalala' akimiliki mpira mbele ya Jaffar Salum wa Mtibwa Sugar
Kiungo wa Mtibwa Sugar, Mohammed Issa (kushoto) akimiliki mpira mbele ya kiungo aliye majaribioni Simba, James Kotei
Beki wa Simba, Method Mwanjali (kulia) akimdhibiti Jaffar Salum wa Mtibwa Sugar
Kipa wa Mtibwa Sugar, Said Mohammed (kulia) akirukia mpira kichwani mwa kiungo wa Simba, Mussa Ndusha
Kiungo wa Mtibwa Sugar, Henry Joseph (kulia) akipitisha pasi mbele ya kiungo wa Simba, Shizza Kichuya
Kiungo wa Simba, Mussa Ndusha (kulia) akikimbilia mpira dhidi ya kiungo wa Mtibwa, Kelvin Friday
Mshambuliaji wa Mtibwa Sugar, Stahmili Mbonde akimiliki mpira mbele ya beki wa Simba, Mohammed Hussein 'Tshabalala'
Kikosi ch Simba SC jana Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam
Kikosi ch Mtibwa Sugar jana Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam
Finaleinzug bleibt das Ziel der U19
-
Borussia Dortmunds U19 geht mit Optimismus ins Halbfinal-Rückspiel um die
Deutsche Meisterschaft gegen Hertha BSC. „An der Ausgangsposition hat
sich trotz ...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment