Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Ally Samatta (kulia) akijaribu kumpiga chenga mchezaji wa Sassuolo katika mchezo wa Kundi F michuano ya Europa League jana Uwanja wa Mapei, Citta del Tricolore mjini Reggio nell'Emilia, Italia. Genk ilishinda 2-0
Samatta akiwania mpira wa juu dhidi ya mchezaji wa Sassulo
Samatta akimpongeza kiungo Mbelgiji, Bryan Heynen baada ya kufunga bao la kwanza dakika ya 58
Human rights: Our everyday essentials (1)
-
INTRODUCTION Human rights are the basic freedoms and protections that
belong to every person by virtue of their humanity. They are not favours to
be gran...
0 comments:
Post a Comment