Mshambuliaji Divock Origi akikimbia na mpira kuurudisha katia uanze tena, baada ya kuifungia bao la kusawazisha Liverpool dakika ya 48 katika sare ya 2-2 na West Ham United Uwanja wa Anfield Jumapili kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Bao lingine la Liverpool lilifungwa na Adam Lallana dakika ya tano wakati ya Spurs yalifungwa na Dimitri Payet dakika ya 27 na Michail Antonio dakika ya 38 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
INEC declares Faduyile winner of Ondo Senate by-election
-
INEC declares APC’s Dayo Faduyile winner of Ondo South senatorial
by-election with 68,474 votes in Saturday’s poll.
The post INEC declares Faduyile winne...
14 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment