Mshambuliaji Divock Origi akikimbia na mpira kuurudisha katia uanze tena, baada ya kuifungia bao la kusawazisha Liverpool dakika ya 48 katika sare ya 2-2 na West Ham United Uwanja wa Anfield Jumapili kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Bao lingine la Liverpool lilifungwa na Adam Lallana dakika ya tano wakati ya Spurs yalifungwa na Dimitri Payet dakika ya 27 na Michail Antonio dakika ya 38 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Wiedersehen mit Paris Saint-Germain
-
Zum dritten Mal in dieser Champions-League-Saison trifft Borussia Dortmund
am Mittwochabend (21 Uhr) auf Paris Saint-Germain. „Wir kennen Paris, und
wir si...
56 minutes ago
0 comments:
Post a Comment