Kiongozi wa kundi la mashabiki wa Simba la mtandaoni maarufu kama Simba Sporaa, Geff Kapyata Shimwela (kushoto) akimkabidhi tuzo ya Mchezaji Bora wa Oktoba kiungo wa timu hiyo, Shizza Kichuya jana Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam. Bahati mbaya Kichuya alikabidhiwa tuzo hiyo Simba ikitoka kufungwa 2-1 na Mtibwa Sugar katika mchezo wa kirafiki
Fantasy Alert: Jets Reportedly Buzzing About Malachi Corley amid Deebo
Samuel Comp
-
Astute fantasy managers looking to get an early start on planning their
drafts will be interested to know that Malachi Corley wasted no time making
an…
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment