Mcheza chipukizi wa Brazil, Gabriel Jesus (kushoto) baada ya kuwasili mjini Manchester jana, miezi mitatu tangu akubali kuhamia klabu ya Manchester City ya England kutoka Palmeiras ya kwao. Mshambuliaji huyo aliyesaini Man City mwanzoni mwa msimu, kwa wiki atakuwa mjini humo kufahamiana na wachezaji wenzake wapya kisha ataondoka kabla ya kurejea Januari kuanza kazi rasmi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Furious row breaks out at Cheltenham Festival between rival jockeys - as
one accuses the other of 'abuse' in front of his wife and kids
-
Amateur jockey Declan Queally has claimed he was 'abused' by Nico de
Boinville before the opening race on the second day of the Cheltenham
Festival.
45 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment