Mcheza chipukizi wa Brazil, Gabriel Jesus (kushoto) baada ya kuwasili mjini Manchester jana, miezi mitatu tangu akubali kuhamia klabu ya Manchester City ya England kutoka Palmeiras ya kwao. Mshambuliaji huyo aliyesaini Man City mwanzoni mwa msimu, kwa wiki atakuwa mjini humo kufahamiana na wachezaji wenzake wapya kisha ataondoka kabla ya kurejea Januari kuanza kazi rasmi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Havertz doesn't want a day off during title hunt
-
Get the view from the changing room following our game against Bournemouth
at Emirates Stadium
30 minutes ago
0 comments:
Post a Comment