Mcheza chipukizi wa Brazil, Gabriel Jesus (kushoto) baada ya kuwasili mjini Manchester jana, miezi mitatu tangu akubali kuhamia klabu ya Manchester City ya England kutoka Palmeiras ya kwao. Mshambuliaji huyo aliyesaini Man City mwanzoni mwa msimu, kwa wiki atakuwa mjini humo kufahamiana na wachezaji wenzake wapya kisha ataondoka kabla ya kurejea Januari kuanza kazi rasmi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rory McIlroy reveals why wife Erica missed his BBC SPOTY triumph - after
YEARS of coming close to the prize
-
The Northern Irishman finally got his hands on the prize after a stunning
year which saw him win The Masters, thereby completing golf's Grand Slam,
as well...
44 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment