Mshambuliaji Zlatan Ibrahimovic (katikati) akishangilia baada ya kuifungia Manchester United bao la ushindi dakika ya 88 ikiilaza 2-1 Crystal Palace katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa Jumatano Uwanja wa Selhurst Park mjini London. Kiungo Paul Pogba alianza kuifungia United dakika ya 45 na ushei, kabla ya James McArthur kuisawazishia Palace dakika ya 66 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Swedish court orders detention of Russian captain of tanker boarded off
Sweden
-
A Swedish court on Sunday ordered the detention of the Russian captain of a
ship that was suspected to be sailing under a false flag in the Baltic Sea
and ...
47 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment