Mshambuliaji Zlatan Ibrahimovic (katikati) akishangilia baada ya kuifungia Manchester United bao la ushindi dakika ya 88 ikiilaza 2-1 Crystal Palace katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa Jumatano Uwanja wa Selhurst Park mjini London. Kiungo Paul Pogba alianza kuifungia United dakika ya 45 na ushei, kabla ya James McArthur kuisawazishia Palace dakika ya 66 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Preston 0-3 Leicester City: Jamie Vardy scores twice as Foxes clinch
Championship title in style
-
Jamie Vardy bagged a brace as Leicester sealed the Championship title with
a 3-0 victory over Preston North End at Deepdale on Monday evening.
54 minutes ago
0 comments:
Post a Comment