Mshambuliaji Zlatan Ibrahimovic (katikati) akishangilia baada ya kuifungia Manchester United bao la ushindi dakika ya 88 ikiilaza 2-1 Crystal Palace katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa Jumatano Uwanja wa Selhurst Park mjini London. Kiungo Paul Pogba alianza kuifungia United dakika ya 45 na ushei, kabla ya James McArthur kuisawazishia Palace dakika ya 66 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Belgium vs Egypt - World Cup LIVE: Mohamed Salah's side draw first blood as
seven-time AFCON champions eye first ever tournament win
-
Follow Daily Mail Sport's live coverage as Belgium get their World Cup
campaign underway in Group G as they take on Egypt at the Seattle Stadium.
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment