Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba SC, Kassim Dewji (kushoto) akiushuhudia kwa makini mchezo wa kirafiki dhidi ya Mtibwa Sugar leo Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam. Wengine ni wadau wakubwa wa klabu hiyo, Crescentius Magori (kulia) na Richard Ndassa (katikati). Simba ilifungwa 2-1 leo
Ten Hag explains double substitution
-
The boss says he had to protect Kobbie Mainoo and Rasmus Hojlund from
injury.
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment