Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo akifumua shuti kuifungia timu yake katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Getafe kwenye mchezo wa La Liga jioni ya leo. Mabao mengine ya Real yamefungwa na Karim Benzema mawili na Gareth Bale moja, wakati la Getafe limefungwa na Alexis PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Meet the heavyweight who teaches sign language
-
Meet Grace Buckle, a unique heavyweight who wants to make the women's
heaviest division as big as the men's.
28 minutes ago
0 comments:
Post a Comment