• HABARI MPYA

    Wednesday, June 10, 2015

    YANGA SC WAENDELEA NA MAANDALIZI YA KAGAME UWANJA WA KARUME

    Kocha wa Yanga SC, Mholanzi Hans van der Pluijm akiongoza mazoezi ya vijana wake leo asubuhi Uwanja wa Karume, Dar es Salaam. Yanga SC imeanza maandalizi ya michuano ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati, Kombe la Kagame, michuano itakayofanyika Dar es Salaam mwezi ujaoa.
    Kocha Msaidizi, Charles Boniface Mkwasa akitoa maelekezo kwa wachezaji
    Kocha wa makipa Juma Pondamali (kushoto) akijadiliana mambo ya kiufundi na kocha Mkuu, Pluim huku kipa Benedicto Tinnoco
    Wachezaji wa Yanga SC wakikimbia mazoezini

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: YANGA SC WAENDELEA NA MAANDALIZI YA KAGAME UWANJA WA KARUME Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top