• HABARI MPYA

    Sunday, June 21, 2015

    TAIFA STARS NA UGANDA CRANES KATIKA PICHA JANA AMAAN

    Mshambuliaji wa Tanzania, Simon Msuva akimtoka beki wa Uganda, Bakari Shafiq katika mchezo wa kwanza Raundi ya Kwanza kufuzu michuano ya Ubingwa wa Mataifa ya Afrika (CHAN) mwaka 2016 nchini Rwanda uliofanyika Uwanja wa Amaan, Zanzibar jana. Uganda ilishinda 3-0.
    Bakari Shafiq (kuli) akimdhibiti mshambuliaji wa Tanzania, Kevin Friday 
    Kevin Friday akipambana na mchezaji wa Uganda, Tekkwo Derrick
    Beki wa Tanzania, Shomary Kapombe akiwatoka wachezaji wa Uganda
    Nahodha wa Tanzania, Nadir Haroub 'Cannavaro' akimtoka mchezaji wa Uganda
    Kiungo wa Tanzania, Frank Domayo akimtoka mchezaji wa Uganda
    Kikosi cha Tanzania jana
    Kikosi cha Uganda jana
    Beki wa Tanzania, Erasto Nyoni akiwatoka wachezaji wa Uganda
    Wachezaji wa Uganda wakishangilia bao la tatu jana
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: TAIFA STARS NA UGANDA CRANES KATIKA PICHA JANA AMAAN Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top