• HABARI MPYA

    Thursday, June 25, 2015

    ALIYEMTIA 'DOLE' NYUMA CAVANI AFUNGIWA KUTOCHEZA TENA COPA AMERICA

    BEKI wa Chile, Gonzalo Jara amefungiwa kucheza hatua yote iliyobaki ya mashindano ya Copa America, baada ya jana kumtia 'dole' nyuma mshambuliaji wa Uruguay, Edinson Cavani in the backside.
    Jara alizabwa kibao na Cavani usoni na mshambuliaji huyo wa Paris Saint-Germain akaonyeshwa kadi ya pili ya njano na kuwa nyekundu hivyo kutolewa nje huku wa Chile akiachwa bila adhabu yoyote.
    Pamoja na mchezaji huyo wa zamano wa West Brom, Brighton na Nottingham Forest kuisaidia timu yake kushinda 1-0 usiku wa kuamkia leo na with kutinga Nusu Fainali ya michuano ambayo wao ni wenyeji, lakini hatacheza tena.
    Edinson Cavani (third left) makes his views very clear as he argues with Gonzalo Jara over the incidents
    Edinson Cavani (wa tatu kushoto makes akilalamikia kitendo alichofanyiwa na Gonzalo Jara 
    Jara approached Cavani late in the game
    He appeared to stick his finger in the striker's bum
    Jara akimfanyia udhalilishaji Cavani, ambaye alipojibu kwa kumzaba kibao beki huyo alitolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 63
    Cavani was shown a red card for two yellows after abusing the referee's assistant and the flick at Jara
    Cavani akionyeshwa kadi nyekundu licha ya kudhalilishwa na Jara
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ALIYEMTIA 'DOLE' NYUMA CAVANI AFUNGIWA KUTOCHEZA TENA COPA AMERICA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top