• HABARI MPYA

    Tuesday, June 23, 2015

    KIPRE HERMAN TCHETCHE 'ALIVYOJIBEBEA' JIKO MWISHONI MWA WIKI IVORY COAST

    Mshambuliaji wa Azam FC, Kipre Herman Tchetche akicheza ngoma ya asili ya kwao Ivory Coast na mkewe mwishoni mwa wiki baada ya kufunga pingu za maisha nchini humo.
    Wapambe wa Bi harusi wakifurahia katika sherehe hizo
    Maharusi wakifurahia kutimiza ahadi yao ya kuiunganisha miili yao kuwa mmoja
    Kipre Tchetche anatarajiwa kuwasili wiki hii kuendelea na kazi Azam FC baada ya kukamilisha zoezi hilo
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KIPRE HERMAN TCHETCHE 'ALIVYOJIBEBEA' JIKO MWISHONI MWA WIKI IVORY COAST Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top