• HABARI MPYA

    Saturday, June 20, 2015

    NOOIJ ASINDIKIZWA NA POLISI BAADA YA MECHI STARS IKILALA 3-0 ZANZIBAR

    Kocha wa Taifa Stars akisindikizwa na Polisi baada ya mchezo dhidi ya Uganda usiku huu Uwanja wa Amaan. Taifa Stars imefungwa mabao 3-0 mechi hiyo ya kwanza ya kufuzu CHAN 2016 Rwanda.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: NOOIJ ASINDIKIZWA NA POLISI BAADA YA MECHI STARS IKILALA 3-0 ZANZIBAR Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top