• HABARI MPYA

    Monday, June 29, 2015

    MTOTO WA RONALDO MIAKA MITANO TU LAKINI AFANYA MAMBO YA HATARI SANA KAMA BABA YAKE

    Kama baba yake, Cristiano Jnr akionyesha umahiri wake wa kuchezea mpira katika ufukwe wa Bahamas ambako mtoto huyo wa miaka mitano tu alikuwa akifanya viu vyake baba yake akiwa mapumzikoni.
    Cristiano Jnr balances the ball on his neck in his latest line of tricks which his Ballon d'Or-winning father would have been proud of
    Cristiano Jnr akifanya vitu vyake ufukweni
    Cristiano Jr flicks the ball into the air on the beach
    The five-year-old youngster aims a pass towards his father
    Cristiano Jnr ameonyesha kabisa ni mtoto ambaye atafuata nyayo za baba yake PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MTOTO WA RONALDO MIAKA MITANO TU LAKINI AFANYA MAMBO YA HATARI SANA KAMA BABA YAKE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top