Wachezaji wa Arsenal kutoka kushoto Hector Bellerin, Tomas Rosicky, Santi Cazorla, Danny Welbeck na Nacho Monreal wakionyesha jezi zao mpya za nyumbani msimu wa 2015-2016 katika hafla iliyofanyika Uwanja wa Emirates usiku wa jana. Jezi hizo mpya za Washika Bunduki hao zinatarajiwa kuingia sokoni Juni 25, mwaka huu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Clean energy: How ECN boss Mustapha Abdullahi is powering Nigeria’s solar
revolution
-
By all indications, the appointment of Dr. Mustapha Abdullahi as
Director-General and Chief Executive Officer of the Energy Commission of
Nigeria (ECN) h...
1 minute ago


.png)
0 comments:
Post a Comment