Wachezaji wa Arsenal kutoka kushoto Hector Bellerin, Tomas Rosicky, Santi Cazorla, Danny Welbeck na Nacho Monreal wakionyesha jezi zao mpya za nyumbani msimu wa 2015-2016 katika hafla iliyofanyika Uwanja wa Emirates usiku wa jana. Jezi hizo mpya za Washika Bunduki hao zinatarajiwa kuingia sokoni Juni 25, mwaka huu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Donald Trump sends astonishing warning to Iran soccer team ahead of World
Cup
-
Iran has qualified for this summer's soccer showpiece, which is being
co-hosted by the United States, Canada and Mexico.
1 hour ago


.png)
0 comments:
Post a Comment