![]() |
| Houcin Reguid wa Tunisia |
The Carthage Eagles walitoa sare ya bila kufungana na Botswana Uwanja wa Taifa mjini Gaborone jana usiku na kupanfa kileleni mwa kundi lao kwa kufikisha pointi 11.
Leekens aliwaambia Waandishi wa Habari kwamba kabla ya mechi alipanga kuchukua pointi zote tatu, ingawa walihitaji pointi moja tu.



.png)
0 comments:
Post a Comment