// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); ARSENAL YAUA 4-1, WILSHERE AFUNGA BAO LA MSIMU, OZIL APIGA MBILI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE ARSENAL YAUA 4-1, WILSHERE AFUNGA BAO LA MSIMU, OZIL APIGA MBILI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Saturday, October 19, 2013

    ARSENAL YAUA 4-1, WILSHERE AFUNGA BAO LA MSIMU, OZIL APIGA MBILI

    WAWEZA kusema lolote kuhusu Arsenal kwa sasa, lakini kubwa ni kwamba iko vizuri. The Gunners leo wameua 4-1 Norwich Uwanja wa Emirates na kupanda kileleni mwa Ligi Kuu ya England, utamu zaidi ni bao la Jack Wilshere ambalo moja kwa moja linaingia kwenye kinyang'anyiro cha bao bora la msimu.
    Wilshere alifunga dakika ya 18, mchezaji ghali wa Arsenal, Ozil akafunga mawili dakika ya 58 na 88 na lingine Ramsey dakika ya 83, wakati la Norwcih lilifungwa na Howson dakika ya 70.
    Kikosi cha Arsenal ilikuwa: Szczesny, Sagna, Mertesacker, Koscielny, Gibbs, Arteta, Flamini/Ramsey dk37, Wilshere, Ozil, Cazorla/Rosicky dk59 na Giroud/Bendtner dk78.
    Norwich: Ruddy, Martin, Turner, Bassong, Olsson, Tettey/Hoolahan dk79, Snodgrass,Howson, Fer, Pilkington/Redmond dk70 na Hooper.
    La kwanza: Jack Wilshere akishangilia baada ya kuifungia Arsenal
    Finishing off: Wilshere scored after a good passing move
    Anamalizia: Wilshere alifunga baada ya gonga safi
    Easy does it: Wilshere guides the ball into the corner of net
    Bao la msimu: Wilshere akifunga bao tamu
    All smiles: Olivier Giroud celebrates with Wilshere
    Furaha tupu: Olivier Giroud akishangilia na Wilshere
    Fight for the ball: Sebastien Bassong holds off Giroud for Norwich
    Kugombea mpira: Sebastien Bassong akipamabana na Giroud 
    High jump: Giroud, rises highest to win the ball in the air
    Ruka juu: Giroud, akienda hewani kuwania mpira wa juu
    Head first: Mesut Ozil gets a second goal for Arsenal
    Kichwa kwanza: Mesut Ozil akiifungia bao pili Arsenal
    Easy does it: Ozil celebrates his goal for Arsenal
    Kiulaini: Ozil akishangilia bao lake Arsenal
    Making the difference: Ozil celebrates doubling Arsenal's advantage
    Analeta tofauti: Ozil akishangilia bao la pili aliloifungia Arsenal
    Pulling one back: Norwich's Jonny Howson scored a goal to make it 2-1
    La kufutia machozi: Jonny Howson aliifungia Norwich la kufutia machozi
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ARSENAL YAUA 4-1, WILSHERE AFUNGA BAO LA MSIMU, OZIL APIGA MBILI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top