// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); MAN CITY WATUA URUSI BILA NAHODHA KOMPANY NA JACK RODWELL KWA KIPUTE CHA LIGI YA MABINGWA KUNDI LA BAYERN - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE MAN CITY WATUA URUSI BILA NAHODHA KOMPANY NA JACK RODWELL KWA KIPUTE CHA LIGI YA MABINGWA KUNDI LA BAYERN - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Tuesday, October 22, 2013

    MAN CITY WATUA URUSI BILA NAHODHA KOMPANY NA JACK RODWELL KWA KIPUTE CHA LIGI YA MABINGWA KUNDI LA BAYERN

    KLABU ya Manchester City itamkosa Nahodha wake Vincent Kompany katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa dhidi ya CSKA Moscow kesho.
    Kikosi cha Manuel Pellegrini kitamenyana na jkabu ya Urusi wiki hii, kikitarajia kuzinduka baada ya kipigo cha mabao 3-1 kutoka kwa Bayern Munich katika mchezo uliopita.
    Lakini Kompany, sambamba na Martin Demichellis na Jack Rodwell, hawajasafiri na timu.

    Pack your bags: Manchester City boss Manuel Pellegrini prepares, suit in hand, to head to Moscow with his team
    Pack your bags: Manchester City boss Manuel Pellegrini prepares, suit in hand, to head to Moscow with his team
    Star: Man of the moment Sergio Aguero
    Star: Man of the moment Sergio Aguero
    Beki mshirika wa kudumu Kompany pale katikati Matija Nastasic alianza pamoja na Javi Garcia, ambaye kwa kawaida hucheza kama kiungo mkabaji.Kompany alirejea uwanjani wiki za karibuni baada ya kukosa mechi kibao za mwanzo wa msimu, lakini akaumia tena na kukosa mechi ya Jumamosi timu hiyo ikishinda dhidi ya West Ham.
    City iliifunga Everton 3-1 kabla ya mapumziko ya mechi za kimataifa, na Pellegrini akabadilisha akabdilisha mabeki wake wanne katika ushindi wa Jumosi Upton Park, kwa Joleon Lescott, Kompany, Pablo Zabaleta na Aleksandar Kolarov wakichukua nafasi za Nastasic, Garcia, Micah Richards na Gael Clichy.
    Same gear: Yaya Toure, Samir Nasri (left) and Joe Hart get ready to take on CSKA Moscow
    Same gear: Yaya Toure, Samir Nasri (left) and Joe Hart get ready to take on CSKA Moscow
    Same gear: Yaya Toure, Samir Nasri (left) and Joe Hart get ready to take on CSKA Moscow
    Changed rules: Stevan Jovetic is allowed his headphones under the new regime
    Changed rules: Stevan Jovetic is allowed his headphones under the new regime
    To Russia with love: Alvaro Negredo relaxes on the plane before take-off
    To Russia with love: Alvaro Negredo relaxes on the plane before take-off
    Pamoja na hayo, City iliruhusu nyavu zake kutikiswa mwishoni mwa wiki, Garcia - ambaye alichezeshwa nafasi isiyo yake, alionekana kucheza kwa uelewano mkubwa na Nastasic. 
    Sergio Aguero, aliyefunga mabao mawili katika ushindi wa West Ham, alikuwa vizuri, sambamba na Joe Hart na Yaya Toure.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAN CITY WATUA URUSI BILA NAHODHA KOMPANY NA JACK RODWELL KWA KIPUTE CHA LIGI YA MABINGWA KUNDI LA BAYERN Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top