• HABARI MPYA

    Tuesday, October 22, 2013

    MOYES AMUWEKA KITI MOTO VAN PERSIE MAZOEZINI MAN UNITED...KILIKUWA KIKAO KIZITO

    KOCHA David Moyes na Robin van Persie walisimama kwa mazunguo ya faragha kwa muda mrefu kwenye Uwanja wa Manchester United leo.
    Timu hiyo ilikuwa inajiandaa kwa mchezo wake wa Ligi ya Mabingwa Ulaya Kundi A dhidi ya Real Sociedad kesho.
    Na wawili hao muhimu klabuni hapo kama walikuwa wanazungumzia mambo ya kiufundi au mengineyo, walionekana kwa muda mrefu wakijadiliana wakati wa mazoezi Carrington.

    Unaonekana huna furaha: David Moyes akizungumza na Robin van Persie Uwanja wa Carrington
    Problem, boss? David Moyes and Robin van Persie were deep in discussion at the Carrington training ground
    Tatizo, bosi? David Moyes na Robin van Persie walikuwa kwenye mjadala mpana Uwanja wa Carrington 
    Problem, boss? David Moyes and Robin van Persie were deep in discussion at the Carrington training ground
    Problem, boss? David Moyes and Robin van Persie were deep in discussion at the Carrington training ground
    Problem, boss? David Moyes and Robin van Persie were deep in discussion at the Carrington training ground
    Guidance: Moyes has a word with Robin van Persie
    Some stare: Perhaps the Dutchman passed on the message to Wilfried Zaha...
    Alitumwa? Bila shaka Mholanzi huyo anafikisha ujumbe kwa Wilfried Zaha...
    Confused: Moyes looked puzzled in his pre-match press conference
    Amechanganyikiwa: Moyes akionekana aliyepagawa katika mkutano na Waandishi wa Habari kabla ya mechi
    Confused: Moyes looked puzzled in his pre-match press conference
    Wakati huo huo, Rio Ferdinand na Nemanja Vidic wote walikosa mazoezi, sambamba na Danny Welbeck na Tom Cleverley.
    Kuendelea kukosekana kwa mabeki hao wawili wa kikosi cha kwanza cha David Moyes kutawatia hofu mashabiki wa timu hiyo baada ya United kuruhus bao la kusawazisha la kizembe dakika za lala salama Jumamosi wakitoa sare na Southampton.
    Vidic alitolewa nje kwenye mchezo huo kutokana na majeruhi wakati Ferdinand amekosa mech mbili zilizopita kwa majeruhi pia.
    Absent: Nemanja Vidic (left) and Rio Ferdinand (right) didn't take part at Carrington
    Absent: Nemanja Vidic (left) and Rio Ferdinand (right) didn't take part at Carrington
    Hawatakuwepo: Nemanja Vidic (kushoto) na Rio Ferdinand (kulia) hawakufanya mazoezi leo Carrington
    Champions League debut: Adnan Januzaj pulled out the tricks at training ahead of the Real Sociedad clash
    Anaanza Ligi ya Mabingwa: Adnan Januzaj akifanya mazoezi na wenzake kwa ajili ya mchezo dhidi ya Real Sociedad
    Champions League debut: Adnan Januzaj pulled out the tricks at training ahead of the Real Sociedad clash
    Yuko tayari kwa Ligi ya Mabingwa: Adnan Januzaj alionekana yuko tayari kucheza dhidi ya Real Sociedad
    Focused: David Moyes oversaw a fiercely committed training session
    David Moyes akiwafundisha vijana wake leo
    Not like Spain: The clouds gather over the pitch
    Siyo kama Hispania: Man United wakijifua 

    Moyes amesema majeruhi ya Ferdinand si ya muda mrefu na atakuwa tayari kwa mchezo wa marudiano na timu hiyo ya Hispania wakati United inatazamiwa kuendeleza rekodi yake ya kutofungwa katika mashindano hayo msimu huu.
    Adnan Januzaj alishiriki mazoezi hayo makali baada ya kupandishwa kikosi cha United kinachoshiriki Ligi ya Mabingwa Ulaya na nyota huyo kinda ameonekana kumudu kazi kiasi cha kusababisha kinda mwenzake, Wilfried Zaha awekwe kando.
    Darren Fletcher, ambaye hajacheza tangu Desemba mwaka jana amepona maumivu yake naye pia amefanya mazoezi.
    Ready to go: Wayne Rooney and Co set out on completing some training drills
    Tayari kwa kazi: Wayne Rooney na wenzake wakifanya mazoezi
    Sliced: Wilfried Zaha was caught by a challenge from Januzaj
    Amechemsha: Wilfried Zaha amezidiwa kete na Januzaj
    Welcome return: Darren Fletcher (right) was back in action
    Karibu tena: Darren Fletcher (kulia) amerejea kazini
    Say cheese: Anderson (right), next to Javier Hernandez, strikes a pose
    Sema chiiizzz: Anderson (kulia), pembeni ya Javier Hernandez
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MOYES AMUWEKA KITI MOTO VAN PERSIE MAZOEZINI MAN UNITED...KILIKUWA KIKAO KIZITO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top