• HABARI MPYA

    Sunday, October 27, 2013

    NEW LEWIS NI NOMA BWANA, AMTANDIKA MTU VIBAYA KWA KO RAUNDI YA PILI TU

    BINGWA wa uzito wa juu wa Olimpiki, Anthony Joshua ameendeleza mwanzo wake mzuri katika ngumi za kulipwa baada ya kumpiga kwa Knockout (KO) raundi ya pili, Paul Butlin.
    Mbabe huyo wa London, anayeitwa 'New Lewis' akifananishwa na bingwa wa zamani asiyepingika duniani, Lennox Lewis, alimpiga Emanuele Leo kwa KO raundi ya kwanza mapema mwezi huu na kama alitarajiwa, ameshinda pambano la pili dhidi ya bondia wa Melton Mowbray, Butlin.

    Victorious: Anthony Joshua celebrates his win over Paul Butlin in Sheffield
    Next up: Joshua heads to York Hall next and will top the bill on November 14
    Next up: Joshua heads to York Hall next and will top the bill on November 14
    Joshua
    Joshua
    Going down: Blood pours from Paul Butlin's eyes in the second round
    Going down: Blood pours from Paul Butlin's eyes in the second round
    Performance: Joshua has now won two out of two at professional level
    Performance: Joshua has now won two out of two at professional level
    Here's your winner: Joshua is led away with Butlin on the floor just 30 seconds into the second round
    Here's your winner: Joshua is led away with Butlin on the floor just 30 seconds into the second round
    Momentum: Olympic gold medalist Joshua has made a promising start to his pro career
    Momentum: Olympic gold medalist Joshua has made a promising start to his pro career
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: NEW LEWIS NI NOMA BWANA, AMTANDIKA MTU VIBAYA KWA KO RAUNDI YA PILI TU Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top