• HABARI MPYA

    Saturday, October 26, 2013

    MABINTI WA KIMAKONDE WAKIPIGA MSOSI SAPPHIRE KABLA YA KUONYESHANA KAZI NA DADA ZETU TAIFA BAADAYE

    Wachezaji wa timu ya taifa ya Msumbiji chini ya umri wa miaka 20, wakichukua chakula katika mgahawa wa hoteli ya Sapphire Court, Kariakoo, Dar es Salaam mchana wa leo. Timu hiyo itamenyana na U20 ya wanawake wa Tanzania jioni ya leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kuwania tiketi ya Kombe la Dunia kwa vijana wa umri huo. 

    Wachezaji wa Msumbiji

    Chakula kitamu

    Kitamu sana

    Sapphire wanapika vizuri

    Chakula safi

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MABINTI WA KIMAKONDE WAKIPIGA MSOSI SAPPHIRE KABLA YA KUONYESHANA KAZI NA DADA ZETU TAIFA BAADAYE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top