MABINTI WA KIMAKONDE WAKIPIGA MSOSI SAPPHIRE KABLA YA KUONYESHANA KAZI NA DADA ZETU TAIFA BAADAYE
Wachezaji wa timu ya taifa ya Msumbiji chini ya umri wa miaka 20, wakichukua chakula katika mgahawa wa hoteli ya Sapphire Court, Kariakoo, Dar es Salaam mchana wa leo. Timu hiyo itamenyana na U20 ya wanawake wa Tanzania jioni ya leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kuwania tiketi ya Kombe la Dunia kwa vijana wa umri huo.
Item Reviewed: MABINTI WA KIMAKONDE WAKIPIGA MSOSI SAPPHIRE KABLA YA KUONYESHANA KAZI NA DADA ZETU TAIFA BAADAYE
Rating: 5
Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
🇪🇸 Laporte withdraws from Spain squad
-
Manchester City defender Aymeric Laporte has withdrawn from the Spanish
national team, the club has confirmed. Laporte was instrumental as Man
City won th...
TBS YAKUTANA NA WAHARIRI DAR
-
Mkurugenzi wa Udhibiti Ubora wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Lazaro
Msasalaga ( wa pili kushoto) akizungumza wakati wa jukwaa la wahariri wa
vyom...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 maoni:
Chapisha Maoni