// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); AKINA SAMATTTA, ULIMWENGU NA MAZEMBE WATINGA FAINALI AFRIKA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE AKINA SAMATTTA, ULIMWENGU NA MAZEMBE WATINGA FAINALI AFRIKA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Saturday, October 19, 2013

    AKINA SAMATTTA, ULIMWENGU NA MAZEMBE WATINGA FAINALI AFRIKA

    Na Prince Akbar, Dar es Salaam
    BAO pekee la Tressor Mputu dakika ya saba, limeipa ushindi wa 1-0 Tout Puissant Mazembe dhidi ya Stade Malien ya Mali katika Nusu Fainali ya pili ya Kombe la Shirikisho la Soka Afrika Uwanja wa Mazembe mjini Lubumbashi leo.
    Matokeo hayo yanaifanya Mazembe yenye washambuliaji wawili Watanzania, Mbwana Samatta na Thomas Ulimwengu itinge fainali ya michuano hiyo.
    Mfungaji wa bao la Mazembe leo, Tressor Mputu katikati akiwa na Ulimwengu kulia na Samatta kushoto

    Hata hivyo, bado haijajulikana Mazembe itacheza na nani katika fainali kutokana na Bizertin na CS Sfaxien zote za Tunisia kutoka tena sare ya bila kufungana leo na sasa zitarudiana tena kesho.
    Katika mchezo wa kwanza, Mazembe iliifunga Malien mabao 2-1 mjini Bamako.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: AKINA SAMATTTA, ULIMWENGU NA MAZEMBE WATINGA FAINALI AFRIKA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top