// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); PAMBAO LA SIMBA NA YANGA SC KATIKA PICHA LEO UWANJA WA TAIFA... - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE PAMBAO LA SIMBA NA YANGA SC KATIKA PICHA LEO UWANJA WA TAIFA... - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Sunday, October 20, 2013

    PAMBAO LA SIMBA NA YANGA SC KATIKA PICHA LEO UWANJA WA TAIFA...

    La kusawazsha; Kipa wa Yanga SC, Ally Mustafa 'Barthez' akiruka bila mafanikio kuokoa mpira uliopigwa na Gilbert Kaze kuipatia Simba SC bao la kusawazisha katika sare ya 3-3 jioni ya leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara mzunguko wa kwanza.

    Kiungo Jonas Mkude akiwapa ishara ya  'amkeni' mashabiki wa Simba SC baada ya sare ya 3-3 na Yanga wakitoka nyuma kwa 3-0 

    Kiungo wa Yanga SC, Frank Domayo akitoa pasi mbele ya kiungo wa Simba SC, Abdulhalim Humud

    Didier Kavumbangu akiwatoka mabeki wa Simba SC

    Kavumbangu akituliza mpira kifuani katikari ya mabeki wa Simba

    Mabeki wa Yanga SC, Nadir Haroub 'Cannavaro' na Kevin Yondan kulia wakimdhibiti mshambuliaji wa Simba SC, Amisi Tambwe

    Haroun Chanongo wa Simba akigombea mpira na Haruna Niyonzima wa Yanga

    Kiungo wa Yanga SC, Athumani Iddi 'Chuji' kulia dhidi ya Humud wa Simba  

    Kipa wa Simba SC, Abbel Dhaira akiwa amedaka mpira mbele ya mshambuliaji wa Yanga SC, Kavumbangu ambaye tayari alimpita beki Joseph Owino

    Mrisho Ngassa akibinuka tik tak

    Beki Nassor Masoud 'Chollo' akiuptia mpira miguuni mwa Mrisho Ngassa

    Betram Mombeki akiruka kupiga kichwa ya Frank Domayo wa Yanga

    Joseph Owino wa Simba SC akiupitia mpira miguuni mwa Kavumbangu

    Nassor Masoud 'Chollo' wa Simba akimiliki mpira mbele ya Ngassa 

    Ngassa akimtoka Ramadhani Singano 'Messi' wa Simba

    Ngassa na Messi wa Simba

    Ngassa akishangilia na David Luhende kulia na Haruna Niyonzima baada ya kufunga bao la kwanza

    Humud akimtoka Kaumbangu

    Amisi Tambwe wa Simba SC akipambana na Mbuyu Twite wa Yanga SC

    11 walioanza Simba SC leo

    11 walioanza Yanga SC leo

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: PAMBAO LA SIMBA NA YANGA SC KATIKA PICHA LEO UWANJA WA TAIFA... Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top