Harry Kane akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Tottenham Hotspur dakika ya 48 ikiilaza 1-0 Borussia Dortmund katika mchezo wa marudiano hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Signal-Iduna-Park mjini Dortmund. Kwa matokeo hayo, Spurs inakwenda Robo Fainali kwa ushindi wa jumla wa 4-0 baada ya kushinda 3-0 na London kwenye mchezo wa kwanza PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bo Nix selected by Denver Broncos at No. 12 in 2024 NFL Draft, making it
SIX quarterbacks selected in first round
-
Oregon quarterback Bo Nix was selected 12th overall in Thursday's NFL Draft
by the Broncos - marking the sixth passer taken in the first round.
32 minutes ago
0 comments:
Post a Comment